Ishu ya Mjane: Nitaondoka Dar nikishindwa kumsaidia – RC Makonda

Ishu ya Mjane: Nitaondoka Dar nikishindwa kumsaidia – RC Makonda


KUFUATIA video ya mama mjane iliyosambaa mitandao ikimuonyesha akilalamikia baada ya nyumba yake kupigwa mnada, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda aliagiza mama huyo atafutwe na afike ofisini kwake leo saa tatu asubuhi jambo ambalo mama huyo ameliekeleza.

Mjane huyo, Bernadetha Ryewendera mkazi wa Teget,a Mtaa wa Upendo ambaye anadai nyumba yake ilipigwa mnada January 12 mwaka huu kwa dakika tano bila yeye kupewa taarifa yoyote, amefika ofisini kwa Makonda leo ambapo baada ya kupitia nyaraka zake, RC Makonda ameagiza kusimamisha mnada wa nyumba hiyo aliouita ni batili.

Related Post: